• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TUNAPOAINISHA VIPAUMBELE VYAKUINGIA KWENYE BAJETI ZIPO NJIA AMBAZO TUNAPITA:RUBEN MWAKILIMA

Posted on: December 11th, 2024


Timu ya kuandaa mpango wa kituo Cha kutolea huduma za Afya ya Msingi imetakiwa kuandaa mpango kwa kuzingatia vipaumbele, malengo na kuanisha kazi zitakazofanyika ili kutimiza malengo na kupata matokeo tarajiwa.


Aidha timu hiyo pia imetakiwa  kabla ya kuandaa makisio ya bajeti ni vyema katika Kila kituo Cha kutolea huduma za Afya ya Msingi ziwe na Kamati ya usimamizi wa kituo ambayo itahusishwa katika kuandaa mipango, kuelekeza, kusimamia na Kutoa taarifa ya namna rasirimali za vituo zinavyotumika.


Hayo yamesemwa Leo tarehe 11/12/2024 na Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Dkt.Ruben Mwakilima katika kikao cha maandalizi ya Mipango ya vituo vya kutolea huduma za Afya ya Msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi ambacho kimefanyikia katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo uliopo mbuyuni Masasi, huku ajenda mbalimbali zikijadiliwa ikwemo mapito ya maandalizi ya Mipango ya vituo, kupitia vigezo vya kuzingatia kuandaa mipango, kupitia taarifa ya Mapato kuanzia jan- Novemba 2024 pamoja na mijadala mbalimbali juu ya Mipango ya vituo.

"Mchakato wa uandaaji wa mpango wa kituo unapaswa kuwa shirikishi, na mpango huo ulioandaliwa utapitishwa na kupewa baraka na Kamati ya usimamizi ya kituo husika kabla ya kupelekwa na kuingizwa kwenye mpango kabambe wa Afya wa Halmashauri , wakati huo huo timu ya uandaaji wa Kituo Cha kutolea huduma za Afya ya Msingi inatakiwa kuweka bajeti ya mafunzo kwa Watumishi wa Kituo kwenye mpango wake kulingana na mahitaji yake, huku CHMT itakuwa na jukumu la kuratibu mafunzo haya kupitia mpango na bajeti yake."...alisema Mwakilima

Ameongeza kuwa vituo vya Afya ni hatua ya kwanza ya rufaa kwa Zahanati na vinajukumu la kusimamia zahanati zinazovizunguka, hivyo ni muhimu mpango wa vituo vya Afya kuweka bajeti ya usimamizi katika zahanati.

" Namna ya kuandaa bajeti na vyanzo vya Mapato ya kituo ambapo yapo Maeneo muhimu sita ya kuzingatia unapoandaa bajeti ni kipaumbele, Afua, malengo/Lengo, Maeneo yanayokusudiwa, kazi zitakazofanyika na matokeo/ufanisi."


Hata hivyo Mwakilima amehitimisha kwa kusema kwamba timu ya uandaaji wa mpango inatakiwa Kutoa maelezo ya idadi ya vijiji/mitaa, Kata zinazohudumiwa na kituo Cha kutolea huduma za Afya, idadi ya wahudumu wa Afya katika ngazi ya Jamii kwenye eneo linalohudumiwa na kituo husika na idadi ya majina ya Zahanati/ vituo vya Afya vinavyohudumiwa na kituo Cha Afya au Hospitali ya Wilaya, Shughuli za uchumi katika Eneo husika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa