• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

REA awamu ya tatu yazinduliwa Rasimi Mkoani Mtwara.

Posted on: August 18th, 2017

Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe.Dkt Medard M. Kalemani (MB) azindua rasmi Mradi wa umeme vijijini (REA) awamu ya tatu katika Mkoa wa Mtwara  tarehe 17.08.2017 ambapo vijiji 213 mkoani mtwara  vitapata umeme kupitia mradi huu.

Uzinduzi huo  kimkoa umefanyika katika Wilaya ya Nanyumbu katika kijiji cha Mnazimmoja kilichopo eneo la Michiga na kusema kuwa, serikali imedhamiria kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya umeme ili waweze kuufikia uchumi wa viwanda ambayo ndio azima ya serikali .

Dkt kalemani amewaeleza wananchi kuwa mradi huo wa umeme utasukuma kwa kasi ya safari ya kuufikia uchumi wa kati kupitia viwanda ambapo wananchi wa mtwara na vijiji vyake  watapata fursa ya kufungua viwanda vidogo na vikubwa na hivyo kuongeza uzalishaji wa bidhaa na kukuza uchumi.

Naibu waziri amesema kuwa, Mtwara ni kati ya mikoa mitano ya  Tanzania bara ikiwemo Lindi, Rukwa Katavi na Kigoma  iliyokuwa nyuma katika huduma ya umeme  hivyo serikali imeamua kutatua changamoto hiyo kwa vitendo kwa kuanzia mkoa wa  mtwara wenye rasilimali ya Gesi.

“katika awamu ya kwanza na ya pili ya mradi wa REA  Mkoa wa mtwara ulifanikiwa kupata viiji 82 ambapo awamu ya kwanza vijiji 31 tu ndio vilipata umeme na awamu ya pili vijiji 5, lakini awamu ya tatu vijiji 283 vimeingizwa kwenye Mradi, lengo la serikali ni kuiniza vijiji vyote  vilivyobaki” alifafanua Dkt kalemani.

Naibu waziri alisema kuwa katika mradi huo wa umeme vijijini awamu ya tatu  taasisi mbalimbali zikiwemo mashule, zahanati makanisa na misikiti na makanisa bure  ili kuboresha upatikanaji wa huduma kwa urahisi zaidi.

Naibu waziri amewaelekeza wakandarasi waliopata kazi hiyo kuhakikisha wanaweka umeme kila kijiji,kitongoji na nyumba bila kujali aina ya nyumba, wametakiwa kutumia nguvu kazi ya vijana waliopo Mtwara na mwalipe kwa wakati pamoja na kutekeleza mradi kwa muda wa miezi 24 kama mkataba unavyoelekeza.

Pamoja na uzinduzi huo mhe. Kalemani ametoa vifaa vya umeme 20 kwa wazee wa kijiji cha Mnazimoja ambao hawatakuwa na uwezo wa kufanya wiringi kwenye nyumba zao mara baada ya umeme kusambazwa kwenye maeneo yao

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa