• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA UTAWALA MASASI DC

Posted on: September 16th, 2023

Rais wa Jamhuri  ya  Muungano  wa  Tanzania Mhe. Dkt Samia  Suluhu  Hassan  Sept 16, 2023 ameweka  Jiwe la  Msingi  kwenye Jengo la Utawala la Halmshauri ya Wilaya ya Masasi  mkoani  Mtwara.

Mradi  huo  ambao  unatekelezwa  kwa  Force account  kupitia  kwa  fundi Ujenzi Chuo kikuu cha Sayansi na Teknoloji Mbeya {MUST} na Mhandisi  Mshauri  Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam{ BICO},  ulianza utekelezwaji  wake tarehe 6/4/2021   hadi sasa  upo katika  hatua  ya  umaliziaji  umegharimu  kiasi cha fedha shilingi  bilioni 2.66 .

Hata hivyo baada ya zoezi  hilo la uwekaji wa jiwe hilo la msingi katika jengo hilo la utawala, Rais Dkt Samia aliwasalimia  Wananchi wa Lulindi ambao  walijitokeza hapo kumlaki, ambapo aliwasisitiza  kuongeza jitihada  kwenye Kilimo na hasa cha Mbaazi, Korosho na Ufuta waongeze maeneo  mengi Zaidi ya kulima  na akawahaidi  kuwa,  Serikali nayo itajitahidi  kutafuta masoko ya uhakika ili baada  ya mavuno  yao na kuuzwa zipatikane  fedha nyingi ambazo zitamnufaisha  mkulima mwenyewe moja kwa moja,  nayo serikali itaendelea  kuzipeleka  fedha kwenye  Halmshauri.

Amesema kwasasa  Maendeleo yeyote ni fedha ambayo Serikal inakusanya kwenye kodi na ikishindikana kwenye kodi basi hujielekeza  kwenye  mikopo, na hivyo ili kuepuka  suala  la mikopo ni lazima Wananchi nao wakaisaidia  Serikali kukusanya  fedha za Maendeleo  kwa kujikita  kwenye shughuli za kilimo.

Hata  hivyo Rais Samia ambaye alianza ziara yake mkoani Mtwara tarehe 14 Sept 2023, amehitimisha ziara yake  jana 17 Sept 2023 kwa kuzungumza na Wananchi wa wilaya ya Masasi katika mkutano wa hadhara uliofanyika ktika uwanja wa bomani masasi mjini huku akiwashukuru Wananchi wote wa mkoa wa Mtwara kwa kujitokeza  kwa wingi  kumpokea na kuhudhhuria mikutano myake yote ya hadhara aliyoifanya  katika Wilaya zote za Mkoa wa Mtwara.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa