• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MRADI WA KUIMARISHA MIFUMO YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WATAMBULISHWA RASMI HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

Posted on: June 7th, 2017

Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi na wadau kutoka Asasi za Kiraia wakiwa kwenye kikao cha kutaburisha mradi wa Mifumo ya Afya na Ustawi wa Jamii jana tatehe 07.06.2017 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Uboreshaji  wa mifumo ya kamati shirikishi za kudhibiti ukimwi kuanzia ngazi ya wilaya hadi kijiji kupitia mradi wa uimarishaji wa mifumo ya afya na ustawi wa jamii unaotekelezwa ofisi ya TAMISEMI kwa kushirikiana na shirika la John  Slow Incorporation (JSI) linalosaidia masuala ya afya utasaidia kwa kiasi kikubwa kuboresha huduma za afya na ustawi wa jamii kwa kutekeleza majuku yao ipasavyo.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mhe Juma Satmah kwenye kikao cha kutambulisha mradi huo wa kuimarisha mifumo ya afya na ustawi wa jamii kwa Halmashauri hiyo na kueleza kuwa mradi huo umekuja wakati mwafaka kwani kuna watoto wengi wanaoishi mazingira magumu na maambukizi ya virusi vya ukimwi ni makubwa kutokana na mwingiliano mkubwa uliopo.

Akitoa takwimu za maambuki ya Virusi vya ukimwi kwa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Satmah alisema kuwa kwa mwaka 2014 idadi ya watu waliopima Virusi vya ukimwi ni 29,554 wanawake 18400 na wanaume 11,154  na walikutwa na maambukizi  ni 1140 wanawake 764 na wanaume 376. Kwa mwaka 2015 waliopima 33,152 waliokutwa na maambukizi ni 1189.

Pamoja na juhudi hizi bado maambukizi ni makubwa sana  kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mwingiliano mkubwa wa watu uliopo masasi hali inayopelekea maambukizi kuongezeka kwa kasi, hivyo mfumo huu utawezesha kamati kuanzia ngazi ya wilaya hadi kijiji kwa kiasi kikubwa kutoa elimu ya kutosha juu ya masuala ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi na Ukimwi ili jamii iwe na afya njema kwa kufuata masharti ya umezaji dawa, kuboresha upatikanaji wa vifaa na kuwa na jamii yenye uelewa mpana kuhusu masuaa mazima ya ukimwi.

Mradi huu unatekelezwa na ofisi ya TAMISEMI kwa kushirikiana na shirika la JSI/CHSSP lengo ikiwa ni kuimarisha huduma kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi na waishio na Virusi vya ukimwi ili kufikia lengo ikiwa kuboresha huduma hizo kwa asilimia tisini (90).

Mradi huu ni wa miaka mitano, ulianza kutekelezwa mwaka 2014 na jumla ya halmashauri 184 zitafaidika na mradi huu ikiwemo halmashauri ya wilaya ya masasi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa