• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKURUGENZI WA MASASI DC ATOA SIKU TATU KUBOMOLEWA KWA KUTA ZA CHOO ZILIZOGENGWA BILA KUZINGATIA MUONGOZO

Posted on: June 7th, 2017


                                                                              Moja ya choo ambacho kimetitia kutokana na  kuta za shimo zake zilijengwa kwa kusimamisha tofali badala ya kulaza

Mkurugenzi Mtendaji wa Halamashauri ya Wiaya ya Masasi Mkoani Mtwara  bibi Changwa M Mkwazu ametoa siku tatu kwa kamati ya ujenzi wa  mradi wa choo katika shule ya sekondari mbemba iliyopo Kata ya Chigugu katika halmashauri hiyo  kubomoa  kuta za shimo la mradi huo kutokana na kujengwa bila  kufauata miongozo ya ujenzi wa vyoo unaotaka kulaza tofali wakati wa kujenga  kuta za shimo la choo na sio kusimamisha kama walivyofanya wao.

Mkwazu ametoa agizo hilo leo wakati wa ziara endelevu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo iliyopelekewa fedha na kuona kama inatekelezwa kwa kuzingatia viwango vilivyowekwa kitaalamu na kwa wakati ili iweze kutumika na kukuta  kuta za shimo la choo katika shule hiyo likiwa limejengwa kwa kusimamisha matofali badala ya kulaza kama miongozo inavyoelekeza

Mkwazu alisema pamoja na kuwaeleza zaidi ya mara mbili kuhusu kubomoa  kuta hizo wanakamati hawakutekeleza mpaka leo amekuta bado hawajabomoa na kuamua kuwapa siku tatu wawe wamebomoa kuta hizo na kuanza kujenga kwa kufuata miongozo ya kitaalamu kwa kutumia gharama zao na sio fedha ya halmashauri.

“Kama mtaendelea na ujenzi  wa choo hiki bila kubomoa kuta za shimo la choo  na kujenga kwa mujibu wa muongozo wa ujenzi wa vyoo bora, Halmashauri haitaleta fedha na mtatekeleza kwa gharama zenu na fedha zilizoletwa itabidi zirudishwe Halmashauri kwani kama serikali haiwezi  kuleta fedha kwenye mradi  usiozingatia viwango.

Aidha Mkwazu amewaambia kuwa halmashauri inatumia fedha nying kujenga vyoo kila mwaka lakini baada ya muda mfupi vinabomoka kwasababu vinajengwa kwa viwango vya chini lakini pia ni hatatari kwa wanafunzi kwani vyoo vingi vya namna hii vinatitia haraka sana kwani sio imara.

Aidha  Mkurugenzi ametumia fursa hiyo kuwaasa viongozi wanaosimamia miradi  yote ya umma inayotekelezwa kwa fedha za serikali na nguvu za wananchi kuzingatia miongzo ya ujenzi na wakikiwa hawaelewi ni vizuri kuomba ushauri kwa wataalamu wa sekta huska ili majengo yanayojengwa yaweze kudumu kwa muda mrafu.

Kwa upande wake diwani wa kata hiyo  mhe . Mpandula ameahidi kulifanyia kazi agizo hilo kwa haraka ili ujenzi uendelee na mradi uweze kukamilika na kutumika

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa