• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MASASI YATOA CHANJO MPYA YA KUZUIA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

Posted on: May 2nd, 2018

UTOAJI WA CHANJO MPYA YA KUZUIA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

Utoaji wa chanjo mpya ya kuzuia saratani ya Mlango wa kizazi kwa wasichana wenye miaka 14 nchini ilizinduliwa tarehe 10 Aprili .2018 ambapo kwa wilaya ya Masasi utoaji wa chanjo hiyo ilizinduliwa tarehe 23 aprili 2018 Lengo la utoaji wa chanjo hii ni kupunguza vifo vya wanawake vitokanavyo na saratani ya Mlango wa kizazi.

Utoaji wa chanjo hii kwa wasichana wenye umri wa miaka 14 waliodhuleni na wasiosoma ni kwasababu wanakuwa bado hawajaanza kufanya ngono ambayo ndio sababu kubwa ya kuenea kwa ugonjwa huu, hivyo kama wakipewa chanjo hawatakuwa na hatari ya kuambukizwa saratani hii na hivyo kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi kwa wanawake.

Huduma hii ni bure na inatolewa katika vituo vya kutolea Huduma za kutolea Huduma za afya, shule za msingi na sekondari na maeneo yanayotolewa huduma ya mkoba katika maeneo vijiji, Kata na ngazi ya wilaya.

Ifahamike kuwa kila mwaka wanawake 466,000 duniani hupata maambukizi ya ugonjwa wa saratani ya Mlango wa kizazi huku Kati ya hao wanawake 50,000 ni kutoka Tanzania. Hivyo kwa Wazazi na walezi ni jambo jema kuwaruhusu watoto wa kike wenye umri wa miaka 14 kupata chanjo hii kwa ni salama.

Chanjo hii inazuia tu maambukizi ya saratani ya Mlango wa kizazi na sio magonjwa mengine kama UKIMWI na magonjwa ya zinaa hivyo ni vizuri watu waache Ngongo zembe kwani unaweza kuzuia saratani ya Mlango wa kizazi lakini ukapata magonjwa mengine kama UKIMWI unayoambukizwa kwa njia ya ngono.

Kwa mwaka huu Wilaya ya Masasi inatarajia kutoa chanjo kwa wasichana wenye umri miaka 14 waliozaliwa Kati ya January hadi disemba 2004 wapatao 3, 708 ambapo hadi kufikia tarehe 27 Aprili, 2018 jumla ya wasichana 1234 sawa na asilimia 33.3

Chanjo hii inatolewa kwa dozi mbili ambapo dozi ya kwanza atapatiwa wakati wowote anapotimiza miaka 14 na dozi ya pili anapata baada ya miezi sita tangu alipopatiwa dozi ya kwanza.

"Jamii iliyochanjwa ni jamii yenye afya" afya yangu, mtaji waji"

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa