• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MASASI DC YAFANYA SHEREHE LEO KWA KUTOA MIKOPO NA ZAWADI

Posted on: January 23rd, 2021

Mkuu wa wilaya ya masassi Suleimani Mzee ametoa  pongezi kwa wafanyakazi bora ambao wamekabidhiwa zawadi leo hii  katika Halmashauri ya wilaya ya masasi kutoka katika idara na vitengo mbalimbali na kuwakumbusha kuendelea kuchapa kazi kwa bidii bila kubweteka ili juhudi,na , ufanisi wao wa kazi uendelee kuleta tija katika maeneo yao ya kazi. aliendelea pia kwa kuwapongeza

wanakikundi ambao wamepatiwa asilimia kumi ya mkopo wa halmashaur kutumia vizuri mikopo hiyo ilil malengo waliojiwekea waweze kufanikiwa na kuboresha maisha yao na familia zao na kuwataka maafsa mipago ,kutembelea vikundi hivyo.ili kubaini changamoto zao na kuzitafutia ufumbuzi

Ameeleza hayo leo hii katika sherehe ya siku malum ya halmashauri ya wilaya ya masasi ambayo imeandaliwa na mkurugenzi wa halmashauri hiyo kwa lengo la kujumuika kwa pamoja na watumishi wote kutoa mikopo ya asilimia kumi kwa wanawake ,vijana,na watu wenye ulemavu kama agizo la serikali linavyozitaka halmashauri zote nchini kutoka katika mapato ya ndani pamoja na kutoa zawadi kwa  watumishi bora kutoka idara na vitengo mbalimbali ikiwa ni njia mojawapo ya kuinua ari na ufanisi kazini miongoni mwa watumishi.

Kwa upande wake mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya masasi ndg Ibrahimu issa chiputula ametolea ufafanuzi lengo la kuandaa sherehe hiyo na kuwaomba walimu wa  ajira mpya wapatao 68 kuwa na busara kwa maeneo waliyopangiwa kazi, na kutoa msisitizo kwa vikundi walivyopatiwa mikopo kurejesha kwa wakati ili na watu wengine waweze kupata mikopo hiyo .

Sambamba na hayo wanavikundi walopatiwa mikopo hiyo  pamoja na maafisa watendaji kata walokabidhiwa pikipik walitoa shukran kwa halmashauri na kueleza mipango mikakati waloiwekea katika kurejesha mikopo na kuleta maendeleo katuka kata zao na halmashauri

 Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashaur ya Wilaya ya Masasi Bwana Lyoba Magabe alitolea ufafanuzI lengo la kuandaa siku hii ambayo ilikuwa ni siku maalumu ya Halmashaur ya wilaya ya masasi ni kukabidhi Mikopo kwa vikundi 52 ,kukabidhi zawadi kwa wafanya kazi Bora 22,kukabidhi Godoro kwa walimu 68 walioajiliwa ajira mpya katika Halmashaur hiyo,kukabidhi zawadi kwa wanafunzi na walimu wao wa shule ya Sekondari Mkalapa waliofanya vizuri katika mchezo wa Kikapu maarufu kama volleyball na kuitangaza Masasi na Mkoa wa Mtwara kupitia michezo ,kukabidhii pikpiki 18 Kwa watendaji wa kata.
Kutokana na hayo kaimu mkurugenzi alieleza kuwa Halmashauri yetu imeweza kuibuka na kuwa kinara katika ukusanyaji mapato kati ya halmashauri zote nchini ushindi uliopatikana ni kutokana na  usimamizi mzuri wa kudhibiti mapato na kuongeza kuwa  watendaji kata na vijiji pia ni chanzo kikubwa  katika  mafanikio haya na kuishukuru na kuipongeza  timu ya mapato ya Halmashauri kwa utendaji kazi wake na kuwa sehemu ya mafanikio haya.

Mwalimu huyu akipokea zawadi ya Godoro kwa niaba ya wenzake 68 ambao ni ajira mpya kwa mwaka huu 2021 kwa shule za msingi walimu 40 na sekondari walimu 28 ili waanzie maisha lakini kama sehemu ya motisha kwa walimu wapya mpango ambao umekuwa ukiendelea kufanywa na Halmashauri.

Wanafunzi wa shule ya sekondari Mkalapa ambao pia ni wachezaji wa timu ya kikapu inayowakilisha Mkoa wa mtwara katika mashindano mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja na Meza kuu baada ya kutunikiwa vyeti maalumu na zawadi mbalimbali ikiwemo vifaa vya shule .

Wazazi wa wanafunzi wa shule ya mkalapa ambao ni wachezaji wa Mpira wa nyavu walitoa shukrani zao kwa HalmashaurI kwa zawadi walizotunukiwa siku hii na kuiomba serikal kuwawezesha zaidi ya hapa walipo ili waweze kufika mbali  zaidi ya hapa.

Watendaji wa kata 18 wakikabiziwa pikipiki zao leo na mgeni rasmi Mh. selemani Mzee kwa niaba ya mkuu wa Mkoa wa Mtwara tayari kwenda kuzitumia ili ziweze kuwarahisishia utendaji kazi wao zilizonunuliwa kwa mapato ya ndani.

 Neema josephu ambaye ni afisa maendeleo ya jamii wa halmashaur ya wilaya ya masasi ameeleza Kama idara ya maendeleo kupitia halmashauri hiyo kuwa wametoa mikopo ya asilimia kumi kwa wanawake,vijana,na watu wenye ulemavu kwa kutekeleza agizo la serikali kwa mwaka 2020/202, Kama halmashauri wamepanga kutoa Milion 207 kutoka kwenye mapato ya ndani
Na mikopo hii ilotolewa 23 January, wamekabidhi pesa taslim sh milioni 191 kwa vikundi 52 kwa lengo la kuwainua wanavikundi mbalimbali Kwa upande wa changamoto za mikopo ilopita neema alieleza kuwa walitoa mikopo yenye thaman ya sh BilionI moja na zaidi lakini ulipaji wa mikopo hiyo ni mdogo walikusanya Milion 800 na pesa zilizobaki ni Milion 200 katika vikundi hivyo
Kutoka na changamoto hiyo Kama kitengo Cha maendeleo wanaendelea kutoa elimu kwa wanakikundi kujikita katik shughuli za kimaendeleo ambazo zinaweza kujiingizia kipato ili waweze kulipa maden hayo kwa wakati.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa