• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KUSINI 2018 YAFUNGULIWA, VIJANA WAELIMISHWE KUWEKEZA KATIKA KILIMO ,MIFUGO NA UVUVI

Posted on: August 3rd, 2018

Ili viwanda viweze kuendelea katika uzalishaji wa bidhaa mbalilimbali na kuifanya nchi kufikia uchumi wa kati, vijana lazima wapewe elimu zaidi ya namna ya kutumia fursa ya kuwekeza katika kilimo. Mifugo na Uvuvi ili kuwezesha uzalishaji mkubwa wa malighafi ambazo zitatumika katika viwanda hivyo huku wao wakijiongezea uchumi

Mkuu wa wilaya ya masasi mhe. Selemani Mzee akitoa salamu kwa wananchi wakati wa ufunguzi wa maonesho ya NANENANE  Kanda ya Kusini 2018  jana tarehe 3 agosti, 2018

Msisitizo huo ulitolewa jana na mgeni mhe  Shaib Ndemanga rasmi wakati wa kufungua maonesho ya Nanenane kanda ya kusinikwa mwaka 2018 yanayofanyika katika viwanja vya Ngongo Manispaa ya lindi na kueleza kuwa vijana ndio nguvu kazi ya Taifa hivyo ni vema wakaelimishwa na kuwezeshwa kutambua fursa hiyo adhimu ya kuwekeza katika sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi kama fursa ya kukuza uchumi wa nchi

Shamba la bora la Mtama katika banda la Halmashauri ya Wilaya ya Masasi katika maonesho ya Nanenane 2018 Katika Viwanja vya Ngongo

Ndemanga ameeleza kuwa maonesho ya nanenane  kwa mwaka 2018 yameendelea kuonesha teknologia mbalimbali za kilimo mifugo na uvuvi, hivyo ni fursa nzuri kwa wananchi wote wa kanda ya kusini kwenda kujifunza njia za kisasa za uzalishaji wa mazao ya kilimo mifugo na uvuvi na hatimaye kuongeza uchumi katika jamii na taifa kwa ujumla.

Shamba bora  la ALIZETI  katika banda la Halmashauri ya Wilaya ya Masasi katika maonesho ya Nanenane 2018 Katika Viwanja vya Ngongo

“Tuanaamini, kama watu watalima, watafuga na kuvua kibiashara watazalisha ajira nyingi kwa wananchi wakiwemo vijana na hivyo kupunguza tatizo kubwa la ajira lililopo sasa, tumieni maonesho haya kama shamba darasa kujifunza teknologia mbalimbali ili muweze kuzalisha kwa tija” alisema Ndemanga

Ndemanga alifafanua kuwa zaidi ya 70% ya watanzania wanategemea sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi hivyo ni lazima sekta hizi ziboreshwe ili watanzania waweze kukuza uchumi na kufikia uchumi wa kati kupitia viwanda ambalo ndilo lengo la serikali.

 Bwawa la samaki katika banda la Halmashauri ya Wilaya ya Masasi katika maonesho ya Nanenane 2018 Katika Viwanja vya Ngongo

Kauli mbiu ya maonesho ya Nanenane 2018 inasema “wekeza katika kilimo,mifugo na uvuvi kwa maendeleo ya viwanda” hivyo ni wajibu wa kila mtu kutambua fursa kwa kuwekeza ili kuzalisha malighafi za kutosha kwa ajili ya kuendeleza viwanda vya ndani na hatimaye kuisaidia serikali kupunguza gharama za kuagiza vitu kutoka nje ya nchi.

Aidha serikali imeendelea kufuta na kupunguza ada na tozo  ikiwemo tozo 80 kati ya 139 za kilimo zimefutwa,  kwenye ushirika tozo 20 zimefutwa na katika sekta ya mifugo tozo 7 zimefutwa ambazo zilikuwa kero kwa wakulima, wafugaji na wavuvi lengo ikiwa ni   kuwapunguzia wakulima tozo na ada zisizo za lazima.

Ng'ombe wa Maziwa katika banda la Halmashauri ya Wilaya ya Masasi katika maonesho ya Nanenane 2018 Katika Viwanja vya Ngongo 

Maonesho ya Nanenane kwa kanda ya kusini inashirikisha halmashauri 15 za mikoa ya lindi na Mtwara pamoja na taasisi zingine za serikali na binafsi, maonesho haya kwa kanda ya kusini yalianza rasmi kufanyika mwaka 2004.

Wageni wakiwa kweye hafla ya ufunguzi wa maonesho ya Nanenane Kanda ya Kusini  2018 katika viwanja vya Ngongo Manispaa ya  Lindi 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa