• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MABADILIKO YA RATIBA YA MATUKIO MUHIMU KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024

Posted on: October 17th, 2024

Msimamizi wa Uchaguzi Halmashauri ya Wilaya Masasi Bi.Beatrice Mwinuka pamoja na Afisa Uchaguzi wa Halmashauri hiyo Bw.Juhudi Nkwama leo tarehe 17/10/2024 wamekutana kwa pamoja na Viongozi wa Vyama vya Siasa kutoka ndani ya Halmashauri hiyo huku wakiwajulisha mabadiliko madogo ya ratiba ya matukio ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.


Awali akizungumza katika kikao hicho ambacho kimefanyikia katika ukumbi wa zamani wa Halmashauri hiyo uliopo Masasi mjini, Msimamizi wa Uchaguzi Halmashauri ya Wilaya Masasi Bi.Beatrice Mwinuka amesema wamepokea maelekezo Kutoka Ofisi ya katibu Tawala Mkoa wa Mtwara ikiwaelekeza mabadiliko machache ambayo yametolewa na Ofisi ya Rais Tamisemi kuhusu ratiba ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao unatarajia kufanyika Nov 27,2024.

Amesema " mabadiliko hayo ni pamoja na Ukomo wa madaraka (viongozi) wenyeviti wa vijiji, wenyeviti wa vitongoji na Wajumbe wa Halmashauri za Vijiji ambao badala ya kuwa tarehe 25 Oktoba 2024 sasa Madaraka Yao ya Ukomo itakuwa ni tarehe 19/10/2024"


" Jambo lingine ni tarehe ya kuanza kuchukua fomu za uteuzi ili wapate wagombea watakaosimama kwenye nafasi mbalimbali ambazo zitafanyiwa uchaguzi katika Siku ya Uchaguzi, na badala yake Sasa itakuwa ni tarehe 26 Oktoba 2024  - 01 Nov 2024."..alisema Mwinuka


Naye Afisa Uchaguzi wa Halmashauri hiyo Bw. Juhudi Nkwama pamoja na kuwapa ufafanuzi kuhusu suala la  uapishaji mawakala kwamba zoezi hilo ni endelevu katika kipindi hiki cha uandikishaji ambapo mheshimiwa hakimu au wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata, vijiji au Mitaa wanaweza kukasimu ili kurahisisha mchakato huo, pia wamewasisitiza Viongozi hao kuzingatia sheria na taratibu katika kuendesha michakato mbalimbali inayohusu uchaguzi, kwaiyo " kikao kilikuwa kizuri na wamehaidi kutoa ushirikiano huo".

Hata hivyo Bw. Nkwama akatumia fursa hiyo pia kuendelea kuwaomba Wananchi wote wa Halmashauri ya Wilaya Masasi ambao bado hawajajiandikisha watumie muda uliobaki kuhakikisha wanajiandikisha ili wapate sifa za kuwachagua viongozi wanaowataka siku ya Uchaguzi, Lakini pia hata wale ambao tayari wamejiandikisha watumie muda huu kuwahamasisha wenzao kwasababu wanajuana.

17/10/2024

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa