• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAAFISA WAANDIKISHAJI NGAZI YA KATA WAPATIWA MAFUNZO JUU YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA: MASASI DC

Posted on: January 21st, 2025

Maafisa  waandikishaji  wasaidizi  ngazi ya kata wametakiwa kuhakikisha  wanavitunza vifaa vyote vitakavyotumika katika  zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura na kuzingatia  wanayafanyia kazi kwa usahihi  maelekezo yote yatakayotolewa na Tume wakati zoezi hilo litakapokuwa limeanza.

Wito huo umetolewa leo tarehe 21/01/2025 na Afisa mwandikishaji Jimbo la Lulindi na Ndanda halmashauri ya Wilaya ya Masasi Bi.Hadija Mkumbwa wakati akifungua semina ya mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga  kura kwa maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya kata wapatao 34 kutoka ngazi ya halmashauri.

Amesema semina hiyo ambayo ni ya siku mbili kuanzia tarehe 21-22 january 2025 imelenga kutoa elimu ya kutosha itakayowawezesha kutekeleza majukumu yao ili kufanikisha zoezi hilo ambapo pia  yanahusisha namna bora ya ujazaji wa fomu, kutumia mfumo wa kuandikisha wapiga kura, pamoja na matumizi sahihi ya vifaa vya uandikishaji wa wapiga kura.

``tunatarajia kuwa baada ya mafunzo haya, nyie mtapaswa kutoa mafunzomliyopata hapa kwa waendeshaji wa vifaa vya bayometrik na waandishi wasaidiziambao watahusika na uandikishaji wa wapiga kura vituoni,ni matumaini yangu kuwabaadhi yenu mmewahi kushiriki katika utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya Tumeikiwemo hii ya uboreshaji wa Daftari hivyo natarajia mtafanya kazi kwa weledi ,bidii na moyo wa kujituma ili kufaniisha zoezi hili la kitaifa``…alisemaBi.Hadija mkubwa.

Ameongeza kuwa katika jambo lingine muhimu ambalo linalenga kuleta uwazi katika zoezi zima ni mawakala wa vyama vya siasa wataruhusiwa kuwepo katika vituo vya kuandikishia wapiga kura ambapo pia watatumika kuwatambua wapiga kura wa eneo husika na hawatakiwi kuingilia utekelezaji wa majukumu ya watendaji wote wa uboreshaji  wakati wote wa uandikishaji wapiga kura vituoni.

Pichani ni wanasemina wakila kiapo mbele ya Mhe. Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Masasi  Bw.Shaibu Mzanda.Kiapo hicho ni kwa ajili ya Kujiondoa uanachama au kutokuwa mwanachama wa Chama cha Siasa na Kiapo cha Kutunza Siri katika zoezi lote la Uboreshaji wa Daftari la Kudmu la Wapiga Kura

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa