• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAAFISA UGANI WATAKIWA KUTUMIA UTAALAMU WAO KUENDELEZA KILIMO, MASASI

Posted on: August 18th, 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Bibi   Changwa Mkwazu  amewata  maafisa Ugani wa Halmashuri hiyo kutumia utaalamu wao ipasavyo katika kuendeleza sekta kilimo hususani zao la korosho na ufuta ambayo  ndiyo mazao yanayotegemewa zaidi kama chanzo cha mapato kwa wakulima na halmashauri.

Mkwazu ametoa kauli hiyo leo kwenye kikao cha maelekezo kwa maafisa ugani hao na kueleza kuwa  silimia 90 ya mapato ya Halmashauri yanatokana na kilimo huku korosho ikichangia kwa asilimia 70 , hivyo “ tambueni kuwa hii ni sekta muhimu sana  kwa Halmashauri kwani  fedha nyingi za utekelezaji wa miradi ya maendeleo  zinatokana na  mapato yatokanayo na sekta ya kilimo “

Mkwazu amewasisitiza wataalamu hao wa kilimo ngazi ya kata kuwahamasisha  na kuwashauri wakulima wote wa zao la korosho  kuanzisha mashamba mapya, kupanda miche mipya, kubebesha, kupanda kwa msitari na nafasi inayotakiwa, kupalilia  pamoja na kufanya upuliziaji kwa wakati

Maafisa ugani wakifuatilia maelekezo leo tarehe 18.08.2020 kwenye kikao cha kukumbushwa majukumu yao

“Tembeleeni wakulima, wapeni ushauri na hamasisheni walime kilimo cha kisasa  na chenye tija ili kuongeza uzalishaji ndani ya halmashauri” amesistiza  Mkwazu

Aidha Afisa kilimo, umwagiliaji na ushirikiano wa Halmashauri hiyo ndugu Winfrid Tamba ameeleza kuwa moja ya mkakati wa idara ni kuongeza uzalishaji wa zao la korosho kwa mti mmoja kutoka kilo 10 kwa sasa mpaka kilo 30 kwa mti mmoja, pia kuanzisha mashamba mapya ya korosho ili kuongeza idadi ya mikorosho kutoka miti milioni 4.08 hadi milioni 4.6 ifikapo 2023

Tamba amesema kuwa,  kwa sasa Halmashauri inazalisha jumla ya  tani 26,191 za korosho msimu wa 2019/2020 ukilinganisha na tani 24,000 zilizotegemewa kukusanywa.

Kwa upande wake Afisa Mazingira wa Halmashauri hiyo , bibi Kulwa Maiga amewaomba maafisa ugani kuzingatia kilimo endelevu ambacho ni rafiki kwa mazingira mfano kilimo msitu ambacho kinahifadhi mazingira ukizingatia kwa sasa kiwango cha matumizi ya madawa ya kilimo kimeongezeka sana

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa