• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KUWASILISHA HESABU ZA KUFUNGA MWAKA

Posted on: September 28th, 2021

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi kupitia mkutano maalum wa Baraza la Madiwani uliofanyika mnamo tarehe 28 Septemba, 2021 katika ukumbi wa mikutano ulioko Mbuyuni kwa kauli moja wameridhia kupokea na kupitisha taarifa ya kufungwa kwa hesabu za Halmashauri ya Wilaya ya Masasi kwa mwaka wa fedha ulioishia tarehe 30 Juni, 2021.


Kaimu Mweka hazina, Bw. Athumani Jumanne alisema kwa mujibu wa kifungu Na. 40 cha sheria ya fedha za Serikali za Mitaa ya mwaka 1982, (The Local Government Finance Act, 1982) pamoja na agizo katika kanuni za Fedha za Serikali za Mitaa Na. 31 (The Local Authority Financial Memorandum of 2009) zinaelekeza Halmashauri zote nchini kufunga mahesabu yake ya mwaka mwisho wa mwaka na kuyawasilisha kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kabla au ifikapo tarehe 30 Septemba ya kila mwaka.

Kaimu Mweka hazina aliendelea kuwaelezea wajumbe wa mkutano huo kuwa kwa mujibu wa  Kanuni/Muongozo wa Fedha za Serikali za Mitaa (LAFM) 2019 Na. 31 (7), taarifa ya mahesabu hayo yaliyofungwa yanapaswa kuwasilishwa katika kamati ya Fedha, Utawala na Mipango na Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadiliwa na kupitishwa ndipo hesabu hizo ziwasilishwe kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali. 

Aliendelea kusema kaimu mweka hazina, hesabu za Halmashauri za kuishia Juni, 2021 zimefungwa kwa kuzingatia viwango vya kimataifa vya utayarishaji wa hesabu za umma yaani International Public Sector Accounting Standards (IPSAS Accrual) pamoja na kanuni za Fedha za Serikali za Mitaa (Local Government Financial Memorandum (LGFM)), 2009 na Local Authority Accounting Manual (LAAM), 2009.

Halmashauri ilimaliza mwaka wa fedha 2020/2021 tarehe 30 Juni, 2021 ikiwa na albaki ya jumla ya Sh. 2,693,633,061 katika akaunti zake za BoT na NMB pamoja na akaunti za shule, vituo vya afya, zahanati na vijiji. Pia kulingana na 'Statement of Financial Performance' taarifa ya mwenendo wa fedha kwa kuzingatia viwango vya kimataifa vya utayarishaji wa hesabu (IPSAS Accrual) mapato yalifikia Sh. 30,291,801,646 na matumizi 22,093,419,070 hivyo kufanya ziada (Surplus) ya Sh. 8,198,382,576 kwa mwaka wa fedha ulioishia tarehe 30 Juni, 2021.

Matangazo

  • FOMU YA MAHITAJI YA MAFUNZO KWA MWAKA WA MASOMO 2022/2023 February 09, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI III March 17, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO MTENDAJI KIJIJI III March 24, 2022
  • NAFASI YA AJIRA YA MKATABA December 11, 2018
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA KWA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022

    May 05, 2022
  • MWENGE WA UHURU WAZINDUA NA KUTEMBELEA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILLIONI 482,100,000/= HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

    April 09, 2022
  • WAKAZI WOTE WA MASASI DC TUJIANDAE KUHESABIWA KWENYE SENSA YA WATU 23 AGOSTI 2022.

    April 12, 2022
  • MASASI DC YAPOKEA BILIONI ZA SHILINGI KUTEKELEZA MIRADI MIPYA YA MAENDELEO

    December 25, 2021
  • Angalia Zaidi

Video

MH.SILINDE ATEMBELEA SHULE YA MSINGI LUPASO NA KUIPONGEZA HALMASHAURI KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO.
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa