• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE KITAIFA AIPONGEZA HALMASHURI KWA MIRADI YENYE VIWANGO

Posted on: May 15th, 2017

Kiongozi wa mbio za mwenge Kitaifa ndugu Amour Hamad  Amour ameipongeza halmashauri ya wilaya ya masasi mkoani mtwara  na wananchi wake kwa kuwa na miradi mizuri na yenye ubora  wa hali ya juu inayolengo kukudumia wananchi hali  inayoipa heshima serikali kwa wananchi wake.

Hayo aliyazungumza wakati wa kukagua na kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa wodi la akina mama na watoto katika Kituo cha Afya cha Chiwale   ambapo alisema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kusogeza karibu huduma za afya, elimu na huduma nyingine kwa wananchi

Amour alisema kuwa, Ubora wa miradi unategemea na usimamizi imara, ushirikishwaji wa wananchi na uchaguzi bora wa wakanadarasi wanaojenga miradi kwa kuzingatia mikataba ya  ujenzi

Amour alifafanua kuwa serikali inahitaji wakandarasi ambao wanafanya kazi kwa viwango  na kumaliza kazi kwa wakati ili serikali iweze kutimiza adhima yake ya kuwahudumia wananchi kwa wakati na si vinginevyo.  Na  kuongeza kuwa  wakanadarasi kama huyo ndio wanaostahili kupata kazi mbalimbali za ujenzi kwani wanajenga kwa kulingana na thamani ya fedha.

“ Mimi nimeridhishwa na ujenzi huu kwa asilimia mia moja kuanzia muundo wake na ujenzi kwa ujumla uko kwenye viwango stahiki niamuomba akamilishe kwa viwango hivi ili kiongozi atakayekuja kufungua jengo hii alikute likiwa kwenye ubora wa juu zaidi” alieleza Amour.

Aidha Amour aliwaomba wananchi kuendelea kutoa ushirikiano ili jengo hilo liweze kukamilika na hatimaye wakinamama wawe na mahali pazuri pa kupata huduma za afya kwa akina mama wajawazito, wanaotarajia kujifungua, waliofanyiwa upasuaji na watoto waliozaliwa na uzito mdogo.

Mradi huo ulianza mwezi januari 2017 na unatarajia kukamilika mwaka 2017.

Zahanati ya chiwale inahudumia wananchi 17,770 ambapo wanaume 7855 na wananwake 9915 kutoka vijiji 3 vya chiwale, ufukoni, Mkwapa na vijiji vingine vya kata jirani.

Mwenge wa uhuru ukiwa masasi ulitembelea jumla ya miradi mitano (5) yenye thamani ya zaidi ya shilingi biolioni mbili.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa