• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KANISA LA ANGLIKANI LASAIDIA KUMTUA MAMA NDOO KICHWANI

Posted on: October 24th, 2017

Kanisa la anglikani dayosisi ya masasi limefanikiwa kumtuma mama wa namajani katika halamashauri ya wilaya ya masasi  ndoo kichwani baada ya kuchimba kisima cha maji katika kijiji hicho na hivyo kuwapa fursa ya kutumia muda wao kufanya shughuli za mandeleo.

Akikabidhi mradi huo wa kisima kwa wananchi wa kijiji cha Namajani na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya masasi hiyo  Changwa M Mkwazu Mwashamu Askofu wa kanisa la Anglikani  dayosisi ya masasi James B. Almasi aliwataka wanawake na wananchi kutumia maji hayo bila kujali tofauti zao zikiwemo za kidini kwani mradi huo ni wa  wananchi  wote,

 Askofu Almasi alisema kuwa mradi huu umegharimujumla ya  shilingi milioni kumi na mbili  (12,000,000)  kuanzia hatua ya upembuzi mpaka uchimbaji  na matengenezo yote.

Askofu Almasasi alisema kuwa kanisa limeamua kuchimba kisima cha maji kwa ajili ya wananchi wote na sio wakristo kwani kanisa halilengi kuhudumia waumini wake tu bali ni watu wote kama ilivyo kwenye huduma za shule na zahanati.

“Maji haya ni haya sio ya wakisto ni ya watu wote sitegemei huduma hii ya maji ilete mifarakano kwa wananchi bali ilete umoja” alisema Askofu Almasasi

Aidha askofu  Almsi alisema kuwa kanisa liliamua kuchimba kisima cha maji kutokana na tatizo la maji katika ukanda wa magharibi kuwa kubwa sana kwani wananchi walikuwa wanatumia muda mwingi kutafuta maji badala ya kufanya shughuli za maendeleo.

Kwa upande wake mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Chwangwa M. Mkwazu alimshukuru Askofu Almas kwa jitihada za kanisa hizo kuamua kuchimba kisima cha maji katika kijiji cha Namajani kwani kitawasaidia wananchi kuata huduma ya maji kwa ukaribu zaidi tofauti na hapo awali ambapo iliwalazimu kufuata maji mbali.

Mkwazu alisema kuwa serikali imedhamilia kumtua mama ndoo kichwani kwa kumsogezea huduma ya maji hivyo kanisa la Anglikani masasi limesaidia kutimiza adhima ya serikali  kwa kuchimba kisima katika kijiji hiki ambacho kinashida  kubwa ya  maji.

Aidha Mkwazu aliwaeleza wananchi kuwa baada ya kukabidhiwa mardi huo kijiji kitaunda jumuiya ya watumia maji ili waweze kuwa na utaratibu mzuri wa kuuza maji na hatimae kupata mapato ya kuweza kufanya matengenezo ya mradi yatakapotokea.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa