• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA FEDHA UTAWALA NA MIPANGO YAFANYA ZIARA KATIKA MAJIMBO YAKE

Posted on: July 25th, 2024

Kamati ya Fedha utawala na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya Masasi Jana Tarehe 24/07/2024 katika muendelezo wa ziara yake ya kutembelea, kukagua na kupata taarifa juu ya miradi mbalimbali ya Maendeleo ambayo inatekelezwa katika Halmashauri hiyo imete mbelea mradi wa ujenzi wa madarasa mawili na Ofisi Katika Shule shikizi ya Nangwale iliyopo katika Kata ya Namwanga Jimbo la Lulindi Halmashauri ya Wilaya Masasi.

Ujenzi huo ulianza rasmi mnamo mwaka 2021 kupitia nguvu za Wananchi hadi hatua ya Renta june 2023 ulihusisha ujenzi wa boma la madarasa 2 na Ofisi Moja ya walimu.

Hata hivyo kamati hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti wake ndg.Ibrahimu Chiputula ambaye pia ndiye Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, imeonyesha kuridhishwa na nanna mradi huo ulivyotekelezwa kwa viwango vya hali ya juu ukilinganisha na thamani ya fedha iliyopokelewa.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti tofauti wajumbe wa Kamati hiyo mbele ya Wananchi waliojitokeza na kuungana nao nakuwapa fursa kusikiliza taarifa ya mradi huo wamesema kwa Pamoja wanawapongeza Sana wananchi wote wa kitongoji hicho kwa kuonyesha moyo wa kujitolea  na hatmaye kufanikisha mradi huo ambao utakwenda kutatua changamoto ya Shule kwenye eneo lao.

Wamesema " tunawapongeza sana tena Sana,mmejitoa na kuamua kushirikiana na Diwani wenu wa kata hii ya Namwanga na kuona kitongoji hiki kinakuwa na Shule yake, Sasa matumaini yetu shule hii si tu ibaki kuwa shikizi hapana tunataka kuona madarasa mengine yanaongezwa haraka sanjali na ujenzi wa matundu ya vyoo ili shule hii iwe shule kamili ambayo itahudumia Watoto wenu na vijiji jirani pia Watoto wao watakuja kupata Elimu hapa,kwaiyo hongereni sana na endeleeni kumpatia ushirikiano Diwani wenu ili mpate Maendeleo mengine katika nyanja mbalimbali."

Aidha ujenzi wa mradi huo wa madarasa mawili na Ofisi ya walimu katika Shule shikizi Nangwale zilipokelewa fedha kwa awamu mbili ambapo katika awamu ya Kwanza mnamo tarehe 01/07/2023 walipokea shilingi 10,000,000/,= na awamu ya pili tarehe 11/03/2024 walipokea Fedha shilingi 15,000,000/= na kufanya jumla ya Tshs.milioni 25,000,000/= kutoka Halmashauri fedha za mapato ya ndani ili kumalizia ujenzi wa madarasa mawili na Ofisi ya walimu ambapo wamefanikiwa kukamilisha Kwa ujenzi wa gebo 2, kumwaga jamvi, kupaua Jengo lote, kupiga plasta, na puchi kwa nyuma na mbele.

 Kazi zingine ni kufunga blandering, kufunga gypsum board na kuskim, kupaka rangi ndani na nje, kuweka tile's pamoja na malipo ya mafundi wa ujenzi huo.

...    @ Masasi DC

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa