• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI ZA KANDA YA KUSINI ZATAKIWA KUWA NA VIPANDO NA BIDHAA ZENYE TIJA KWENYE MAONESHO YA NANENANE 2017

Posted on: June 30th, 2017

Halmashauri za Mikoa ya Lindi na Mtwara zasisitizwa kuwa na bidhaa na vipando bora na vyenye tija vya mazao  mabalimbali kwenye mabanda yao vinavyozingatia kanuni bora za  kilimo cha kisasa ili kufanyika darasa kwa wakulima na wafugaji wakati wa maonesho ya nanenane  yatakayofanyika kitaifa katika kanda ya kusini viwanja vya ngongo mkoani lindi mwezi wa nane mwaka huu.

Msisitizo huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe Godfrey W. Zambi leo wakati wa kikao cha maandalizi ya maonesho hayo kilichohusisha wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wenyeviti na  wakurugenzi  wa Halmashauri za Mikoa ya Lindi na Mtwara  pamoja na wadau wengine wa maendeleo lengo ikiwa ni kufanya maandalilizi ya maonesho hayo ambayo yanafanyika kitaifa mara ya nne mfululizo katika  kanda ya kusini.

Zambi aliwaeleza wajumbe kuwa maonesho hayo yanapaswa kuwa darasa kwa wakulima na wafugaji pamoja na wananchi kwa ujumla kwani maonesho hayo yanalenga kutoa elimu juu ya kilimo cha kisasa na chenye tija  kwa vitendo na ili wakulima wakaweze kutumia utaalamu huo katika maeneo yao na hatimaye kuongeza uzalishaji utakaopelekea kufikia uchumi wa kati.

Upelekaji  wa utaalamu wa kilimo, mifugo na uvuvi  pamoja na bidhaa mbalimbali kwa wananchi unatakiwa kuwa uwe wenye tija hivyo kila banda linatakiwa liwe na vipando vinavyoonesha uzalisha bora  kama kaulimbiu ya maonesho ya nanenane mwaka huu 2017 inayosema “ zalisha kwa tija mazao na bidhaa za kilimo, mifugo na uvuvi ili kufikia uchumi wa kati”  alisema Mhe Zambi.

Mhe Zambi alisistiza kuwa “Vipando vyetu na bidhaa kwenye mabanda yetu lazima vionyeshe tija, kama ni korosho, alizeti, ufuta na zao lolote lile  ioneshe kama mkulima atazalisha namna iliyo kwenye vipando vyetu atazaliza kwa wingi na kwa ubora wa unaotakiwa katika ushindani wa soko la zao hilo”

Halmashauri zikakikishe zinazimamamia vipando ili mpaka kufiki wakati wa maonesho eneo hilo kweli lionekane ni sehemu ya watu kujifunza kwa vitendo kwa kuona mazao ya aina mbalimbali yakiwa yamestawi vizuri ili washawishike kwenda kutumia teknologia hizo katika shughuli zao za kilimo na hivyo kuongeza uzalishaji kwa wakulima na hatimaye kufikia uchumi wa kati kama serikali ya awamu ya Tano inavyosisitiza kuwa ifikapo 2025 Tanzania  iwe imefikia uchumi wa kati.

Aidha Mhe. Zambi amewaeleza wajumbe kuwa maonesho  ya nanenane kitaifa kwa kanda ya kusini yatafanyika kwa mara ya mwisho mwaka huu wa 2017 kufuatia maelekezo yalitolewa na wizara kuwa maonesho hayo kitaifa itabidi yapelekwe kanda zingine, hivyo mwakani maonesho haya yatafanyika kikanda kama ilivyokuwa kwa maeneo mengine.

Kwa kanda ya kusini maonesho ya nanenane kitaifa yalianza mwaka 2014 na yataishia mwaka huu wa 2017 ambapo yamefanyika mfululio kwa muda wa miaka minne.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa