• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI YAVUKA LENGO LA MWAKA KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO YA NDANI.

Posted on: July 31st, 2024

Halmashauri ya Wilaya Masasi Mkoani Mtwara Leo julai 31/07/2024 imewasilisha taarifa ya utendaji wa kazi wa Halmashauri kwa kipindi cha Mwaka wa fedha 2023/2024 huku taarifa ya ukusanyaji wa mapato ya ndani  ikiwakonga nyoyo waheshimiwa Madiwani ambapo inaonyesha Halmashauri imefanikiwa kukusanya kiasi Cha Fedha shilingi Bilioni 4.796 sawa na asilimia 104.8%

Akiwasilisha taarifa hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Bi.Beatrice Mwinuka mbele ya baraza la Madiwani  Katikati mkutano mkuu  wa kufunga mwaka, Afisa Mipango wa Halmashauri hiyo Bw. Nelson John amesema kuwa kwa mwaka wa fedha 2023/2024, Halmashauri imeidhinishiwa bajeti ya kukusanya/kupokea Jumla ya shilingi Bilioni 40,644,138,368.00 ambapo Kati ya fedha hizo sh.4,578,988,000.00 ni mapato vyanzo vya ndani, na kiasi cha Shilingi 21,917,396,000,00 ni ruzuku kwa ajili ya kulipia mishahara, shilingi 1,203,928,000,00 fedha za ruzuku kwa ajili ya matumizi mengine, shilingi 5,294,385,367.81 michango kutoka kwa wadau wa Maendeleo (wahisani) na shilingi 7,649,441,000.00 ni fedha za ruzuku za miradi ya Maendeleo Kutoka Serikali kuu.


Amesema hata hivyo ukijumuisha na bakaa ya Mwaka 2023/2024  ya Shilingi 339,565,379.06 kufanya bajeti kuu inayotekelezwa kwa Mwaka 2023/2024 kufikia jumla ya shilingi Bilioni 40,987,703,746.87

Bw. Nelson katika taarifa hiyo ameendelea kuelezea kuwa katika kipindi Cha Mwezi julai 2023 hadi Juni 2024 Halmashauri ilijiwekea lengo la kukusanya mapato ya shilingi Bilioni 4,578,988,000.00. ambapo Kwa kipindi Cha Mwezi Juni pekee 2024 Halmashauri imeweza kukusanya kiasi cha Shilingi Milioni 429,522,309.52 na hivyo kufanya Jumla ya mapato yote katika vyanzo vya mapato ya ndani kufikia shilingi bilioni 4,796,609,248.99 sawa na asilimia 104.8% na kufanya kuvuka lengo la mwaka wa fedha, ambapo ongezeko la makusanyo hayo kwa mwaka wa fedha 2023/24 ni Shilingi Milioni 217,621,248.

Aidha Pamoja na kuainisha baadhi ya vyanzo hivyo vya mapato Kama vile ushuru wa mazao kama ufuta, korosho, mahindi,mbaazi, ushuru wa leseni za biashara, ada za ukaguzi na vibali vya ujenzi, leseni za biashara n.k pia ameongeza kuwa yapo mapokezi ya fedha kwa ajili ya Shughuli za maendeleo ambapo katika kipindi Cha julai  2023 hadi Juni 2024 Halmashauri ilipokea Fedha shilingi 19,589,656,444.50 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika Sekta mbalimbali ambapo hadi kufikia Juni 2024 jumla ya shilingi 14,668,636,413.96 zilikuwa zimetumika sawa na asilimia 75%.

Amezitaja Sekta zilizonufaika na fedha hizo ni Sekta ya Afya, Sekta ya Elimu ya awali na Msingi, Sekta ya Elimu Sekondari, Kilimo, Utawala, mpango wa kunusuru kaya maskini TASAF, pamoja na mfuko wa Jimbo.


 Kwa upande wao Madiwani ambao wamepata nafasi ya kuchangia kwa hoja taarifa hiyo kwanza wamepongeza taarifa hiyo ambayo inawatia moyo na kuona Halmashauri imepiga hatua katika suala la ukusanyaji wa mapato ya ndani na hatmaye wakavuka lile Lengo la Mwaka na hivyo wanaomba ziongezwe jitihada katika vile vyanzo vingine vya mapato ambavyo kwa mwaka 2023/24 havikufanya vizuri zaidi basi katika mwaka mpya wa fedha 2024/2025 navyo vikafanye vizuri zaidi.


....@Masasi Dc

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa