• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI YATUMIA MILIONI 494,500,000 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA SHULE

Posted on: June 22nd, 2018

Katika kuhakikisha uwekezaji katika sekta elimu unaolenga kuboresha mazingira ya kujifunza na kujifunzia ikiwa ni mojawapo ya njia ya kuinua kiwango cha ufaulu kwa wananfunzi, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi kupitia mfuko wa elimu imefanikiwa kutumia milioni 494,500,000 kwa ajili ya kuoresha  miundombinu mbalimbali ya shule za msingi na sekondari.

Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kata ya Chikukwe wakiwa kwenye maandamano wakati wa  kilele  cha  sherehe za Juma la Elimu zilizofanyika leo tarehe 22 juni.2018 katika viwanja vya shule ya masingi Chikukwe

Hayo yamebainishwa na kaimu Afisa Elimu Sekondari ndugu Juma Bushiri wakati akisoma taarifa ya maendeleo ya elimu  katika Halimashauri ya Wilaya ya Masasi kwenye kilele cha sherehe za Juma la Elimu zilizofanyika leo tarehe 22 juni,2018 katika viwanja vya shule ya masingi Chikukwe iliyoo kata ya chikukwe na kueleza kuwa Halmashauri imeamua kuwekeza katika elimu ili kupunguza na baadae kuondoa kabisa tatizo la miundombinu  ya shule

Kaimu Afisa Elimu Sekondari akisoma taarifa ya maendeleo ya elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi wakati wa  kilele  cha  sherehe za Juma la Elimu zilizofanyika leo tarehe 22 juni.2018 katika viwanja vya shule ya masingi Chikukwe

 Aidha taarifa hiyo imefafanua kuwa kwa upande wa shule za misingi kupitia mfuko wa elimu,  kazi za  ujenzi wa matundu  ya vyoo 198 na vyumba 21 vya madarasa, nyumba 1, ukarabati wa  vyumba 11 vya madarasa, nyumba 1 ya mwalimu na ofisi 1, na umaliziaji wa vyumba 8 vya madarasa na nyumba 3 za walimu zinaendelea kufanyika.

Kwa upande wa shule za sekondari fedha za mfuko wa elimu   ujenzi miundombinu ya  vyoo matundu 10, vyumba 3 vya madarasa na nyumba 1 ya mwalimu imejengwa, umaliziaji wa vymba 4 vya madarasa na ofisi 1 pamoja na kuingiza umeme katika shule 1 umefanyika.


Makamu Mwnyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya masasi Mhe. leodigar Chilala akikagua (mwenye koti jeusi) banda la wanafunzi   wakati wa  kilele  cha  sherehe za Juma la Elimu zilizofanyika leo tarehe 22 juni.2018 katika viwanja vya shule ya masingi Chikukwe

Akihutubia wananchi wa kijiji cha chikukwe katika sherehe za kilele cha Juma la Elimu, mgeni rasmi mhe. Makamu mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Leodigar Chilala amesema kuwa Halmahauri inatekeleza kwa vitendo kauli mbiu ya maadhimisho ya sherehe hizo inayosema  “elimu ni ufunguo wa maisha wekeza sasa kwa maendeleo ya Taifa” kwa kujenga miundombinu na kuajiri walimu wa muda mfupi hasa wa masomo ya sayansi lengo ikiwa ni kuboresha utoaji wa elimu katika shule zetu na hatimaye kuongeza ufaulu.


Makamu Mwnyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya masasi Mhe. Leodigar Chilala  (Aliyeshika mike) akihutubia wananchi kwenye   kilele  cha  sherehe za Juma la Elimu zilizofanyika leo tarehe 22 juni.2018 katika viwanja vya shule ya masingi Chikukwe

Mhe. Chilala amewaeleza wazazi na walezi kuwa, kama Halmashauri  inawekeza katika miundombinu na kuajiri walimu wa muda kwa masomo ya sayansi, wazazi pia wana wajibu wa kuwekeza katika elimu kwa kuhakikisha watoto wanapata chakula wakiwa shule, kufuatilia maendeleo yao katika masomo pamoja na kuwanunulia vifaa vya shule ili waweze kusoma vizuri.


Kaimu Murugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya masasi Kulwa Maiga  (Aliyeshika mike) akitoa neno kwa wananchi kwenye   kilele  cha  sherehe za Juma la Elimu zilizofanyika leo tarehe 22 juni.2018 katika viwanja vya shule ya masingi Chikukwe

Aidha mhe. Chilala amewakumbusha walimu ambao shule zao zilikuwa na matokeo mabaya kwa mwaka 2017 kuweka mikakati mizuri ya kuhakikisha matokea ya mitihani ya mwaka huu 2018 yanakuwa mazuri kwani wakiamua wananweza kupandisha ufaulu. Katika kilele cha sherehe hizo mgeni rasmi ametoa zawadi kwa shule zilizofanya vizuri katika matokeo ya mitihani kwa mwaka 2017 na kwa shule zilizofanya vibaya zimepata vyeti vya himizo.


Mwenyekiti wa kamati ya elimu afya na maji mhe. Edward Mahelela  (Aliyeshika mike) akitoa neno kwa wananchi kwenye   kilele  cha  sherehe za Juma la Elimu zilizofanyika leo tarehe 22 juni.2018 katika viwanja vya shule ya masingi Chikukwe kabla ya kufunga sherehe hizo.



Mwalimu wa shule ya sekondari Isidori Shirima akipokea zawadi cheti kwenyekilele  cha  sherehe za Juma la Elimu zilizofanyika leo tarehe 22 juni.2018 katika viwanja vya shule ya masingi Chikukwe



Mhe. Diwani wa kata ya Chikukwe  (Aliyeshika mike) akitoa neno kwa wananchi kwenye   kilele  cha  sherehe za Juma la Elimu zilizofanyika leo tarehe 22 juni.2018 katika viwanja vya shule ya masingi Chikukwe


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA III (JAN -MACHI 2025) INAYOTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI.

    May 06, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa