• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DED MASASI DC AWATAKA WATUMISHI KUFUATA KANUNI NA TARATIBU ZA UTUMISHI WA UMMA.

Posted on: September 4th, 2025



MKURUGENZI  MASASI DC AWATAKA WATUMISHI 


Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Ndg.Alphaxard Mashauri Etanga amewataka Watumishi kufanya kazi zao kwa kufuata taratibu na miongozo ya Serikali inayowataka  kufuata kanuni za Utumishi wa Umma, na kutumia busara katika kuwahudumia Wananchi ambao ndio wateja wao.

Wito huo umetolewa leo tarehe 04/09/2025 na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo wakati akiongea na watumishi hao katika kikao cha kawaida kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo uliopo Mbuyuni Masasi.

Amesema Watumishi wanapaswa kujua haki na wajibu wao kwa kufuata  Sheria, kanuni na taratibu za kazi pindi wanapotimiza majukumu yao  na kuwa na  nidhamu ya kazi  ikiwa ni pamoja na kuwahi kazini na kutoka kwa muda uliopangwa.

"Leo tumekutana hapa katika kikao cha kawaida kwasababu sisi kama watumishi mara kwa mara huwa tunakutana kwa ajili ya kuzungumza, kupata mawazo yenu na mwisho kwetu sisi viongozi tunatoa mwelekeo wa kiutendaji na tunahaidi kushughulikia changamoto na kero za Watumishi zinapojitokeza hivyo nataka mjue haki na wajibu wenu "

Aidha ameendelea kuwasisitiza watumishi hao

 kushirikiana na kupendana katika kufanya kazi ili kuleta ufanisi katika utendaji kazi wa Halmashauri hiyo.

Naye Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu wa Halmashauri hiyo Ndg.Optatus Lusolela pamoja na kumshukuru Mkurugenzi kwa kutenga muda wake mara kwa mara kukutana na kuzungumza na watumishi hao na hatmaye kutatua changamoto zao pindi zinapojitokeza amewaomba watumishi hao kuzitumia fursa mbalimbali zinapotolewa na Halmashauri ili kujikwamua kiuchumi.

04/09/2025

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • DED ETANGA: ONGEZENI KASI YA UKUSANYAJI WA MAPATO YA NDANI NA KUZIBA MIANYA YA UTOROSHAJI WA MAPATO HAYO.

    September 04, 2025
  • DED MASASI DC AWATAKA WATUMISHI KUFUATA KANUNI NA TARATIBU ZA UTUMISHI WA UMMA.

    September 04, 2025
  • FARAJI NANDALA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA NDANDA.

    August 26, 2025
  • MCHUNGAHELA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA LULINDI.

    August 26, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa