• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI LAPITISHA BAJETI YA SHILINGI BIL. 34.4 KWA MWAKA 2019/2020

Posted on: February 12th, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara imejadilili  imepitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango wa bajeti zaidi ya shilingi bilioni 34.4 kwa mwaka 2019/2020 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. 

 

Mapendekezo hayo yamepitishwa leo na Baraza la Madiwani katika Mkutano  maalum wa kupitisha rasimu hiyo uliofanyika katika  ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo.

Akiwasilisha mapendekezo ya rasimu ya  bajeti hiyo katika baraza la madiwani, Afisa Mipango wa Halmashauri ndugu Jeremiah Lubeleje  kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Chwangwa Mkwazu, alisema kuwa   lengo la Halmashauri ni kukusanya  shilingi bilioni 34.4 ambapo kati za hizo zaidi ya shilingi bilioni 2.3 ni mapato ya ndani.

Kwa mapato ya ndani, Halmashauri itakusanya kupitia ushuru wa mazao kilimo, ushuru wa mazao ya misitu, ushuru wa huduma,  madini ya ujenzi, leseni za biashara, ada za upimaji mashamba, stendi na vyanzo vingine 

Lubeleje alifafanua kuwa  kwenye matumizi mengineyo Halmashauri imepanga kutumia shilingi bilioni 1.02,  kwa ajili ya miradi ya maendeleo jumla ya shilingi bilioni 4.3  kwa upande wa mishahara zaidi ya bilioni 26.7 zimepangwa kutumika kwa mwaka wa fedha 2019/2020.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe. Juma Satmah  alisema  kuwa kwa bajeti hiyo Halmashauri imeongeza vyanzo vya mapato ili kuoboresha utendaji kazi wa kuhudumia wananchi ikiwemo utekelezaji wa miradi ampao katika mwaka 2019/2020 hamashauri itatumia zaidi ya bilioni 1.1 kutoka atika mapato ya ndani kwa ajili ya kutekelezaji wa miradi ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya shule.

Satmah aliongeza kuwa  bajeti hiyo pia imelenga kuimarisha kuimarisha sekta ya kilimo mifugo na uvuvi ili kuboresha sekta hio ukizingatia  sehemu kuwa ya mapato ya ndani ya halmashauri hiyo  yanatokana na kilimo ambapo shilingi milioni 181,532,000 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa ghala la mazao pamoja na kuanzisha shamba darasa.

Aidha mwenyekiti amesema bajeti hiyo imezingatia kutoa mchango wa asilimia kumi (10%)  wananwake na vijana kutoka mapato ya ndani.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa