• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BALOZI WA JAPANI NCHINI TANZANIA AKABIDHI MIUNDOMBINU YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SH. MILIONI 210, MASASI

Posted on: December 11th, 2018

 Leo  tarehe 11.12. 2018 Balozi wa Japani nchini Tanzania mhe.Shinichi Goto, amekabidhi madarasa 7, Madawati 65  na vyoo matundu 12 kwa shule za Msingi Nakachindu na Chipango  yenye thamani ya  shilingi 210,791,600 yaliyojengwa kwa usimamizi wa shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Life Improvement Association (TALIA).

Madarasa 4 katika shule ya msingi Nakachindu yaliyojengwa kwa ufadhili wa Serikali ya Japan

Akiongea wakati  wa kuzindua na kukabidhi miundombinu hiyo  kwa Uungozi wa Wilaya na shule hizo, Balozi Shinichi Goto alisema kuwa nalishukuru shirika la TALIA  kwa usimamizi mzuri kwani majengo yamejengwa kwa viwango vizuri kama ilivyokusudiwa.

Balozi Shinichi Goto amesema “tunaishukuru TALIA kwa kusimamia vizuri  wa miradi hii hadi kukamilika na leo tunakabidhi kwa Halmashauri tayari kwa matumizi, tunaamini imesaidia kutatua tatizo la upungufu wa madarasa, vyoo na madawati kwa shule hizi na hivyo wanafunzi watakuwa na mazingira bora ya kujifunzia”

Balozi wa Japani nchini Tanzania mhe.Shinichi Goto ( aliyeshika mike) akisoma tarifa wakati wa  hafla ya kukabidhi miundombinu katika shule ya Msingi Nakachindu 

Aidha Balozi Shinichi Goto ameeleza kuwa, Japani itaendelea kutoa  Misaada ya kimaendeleo Halmashauri ya Wilaya ya Masasi na Tanzania kwa ujumla kama sehemu ya kuimarisha uhusiano kati ya  Nchi ya Tanzania na Japani.

Akisoma taarifa  ya hali ya Miundombinu ya Shule za Msingi  ya Halmashauri ya Wilaya ya Masasi kwa Balozi wa japani nchini Tanzania Mhe. Shinichi Goto  Mkuu wa Wilaya ya Masasi Mhe. Selemani Mzee ameeleza kuwa, Halmashauri inaupungufu wa vyumba vya madarasa 777 kati ya 1579 yanayohitajika, hivyo ujenzi wa vyumba hivyo vya madarasa umetatua changamoto ya upungufu wa madarasa na vyoo katika shue hizi mbili ambpo kwa sasa hakuna uungufu kabisa.

Mkuu wa Wilaya amemweleza Balozi Shinichi Goto  kuwa “kwa niaba ya wananchi wa kijiji cha Nakachindu na Chipango napenda kutoa shukrani za dhati kwa Serikali ya Japan kupitia shirika lisilo la kiserikali la TALIA kwa msaada huu mkubwa wa ujenzi wa vyumba 4 vya madarasa, matundu ya vyoo 12 na madawati 44 kwa shule ya msingi Nakachindu na vyumba 3 na madawati 17 kwa shule ya msingi Chipango kwani shule hizi hazina upungufu tena wa miundombinu hii”.

Madarasa 3 katika shule ya msingi Chipango yaliyojengwa kwa ufadhili wa Serikali ya Japan

Kwa uande wake Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo Bibi Changwa Mkwazu, ameahidi kuitunza miundombinu hiyo ili idumu kwa kipindi kirefu kwani ni kigezo kikubwa cha kuongeza ari ya wanafunzi kuwa na mazingira mazuri ya kujifunza na kujifunzia ambalo ndilo lengo a serikali katika kuboresha elimu.

Akiongea kwa niaba ya wananchi wa Nakachindu  bibi Asha Said ameshukuru msaada huo wa miundombinu kwani awali shule hiyo ilikuwa na vyumba vitatu tu vya madarasa hai iliyokuwa inapelekea wanafunzi wa madarasa tofauti kutumia chumba kimoja cha dara kusoma, ilikuwa ngumu sio tu kwa wanafunzi hata walimu na ilikuwa inachangia kwa kiasi kikubwa wanafunzi wengi kutofanya vizuri katika masomo yao.  


Mkuu wa wilaya ya masasi mhe. selemani Mzee (wa kwanza kulia)  akikabidhi taarifa  kwa Balozi wa Japani nchini Tanzania mhe.Shinichi Goto



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa