• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BABA AFUNGWA JELA MIAKA 30 KWA KUMBAKA MWANAE

Posted on: February 22nd, 2019

Mahakama ya hakimu Mkazi ya Wilaya ya Masasi, katika Mkoa wa Mtwara imemuhukumu Ally Musa Katambo (30) wa kata ya Chikundi  Halmashauri ya Wilaya ya Masasi  kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wake wa miaka 11.

Hukumu hiyo ilitolewa leo na Hakimu Mkazi Honorious  Kando alidai kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo julai 7, Mwaka  jana nyumbani kwake.

Kando alieleza kuwa kwa mujibu wa maelezo ya mshitakiwa , alikili kutenda kosa hilo kutokana na  ugumu wa maisha ndipo akaamua  kwa mganga wa kienyeji ambaye alimshauri kuwa ii apate utajiri afanye mapenzi na ndugu yake wa damu ndipo alipomshawishi mtoto wake wa miaka 11 na akafanya nae mapenzi ili awe tajiri.

“Ili iwe fundisho kwa mshitakiwa mwenyewe na jamii kwa ujumla, mshitakiwa utaenda jela miaka 30” alisema Hakimu Kando.

Akisoma hukumu hiyo, Hakimu Kando alisema kuwa kwa mujibu wa uchunguzi wa Daktari mtoto alipata madhara katika viungo vyake vya uzazi  ambapo alipatwa na maumivu makali ya tumbo hali iliyopelekea akafanyiwa upasuaji  kwenye via vyake vya uzazi ili kuondoa uvimbe uliosababishwa na kubakwa mara nyingi na baba yake mzazi.

Kwa upande wake Baba Mzazi wa mtuhumiwa bwana Musa Katambo  alipoulizwa na Hakimu kwanini alikuwa anazimia wakati anapomtembelea mjukuu wake Hospitali, aliieleza Mahakama kuwa ilikuwa ni kwa sababu jambo hilo hajawahi kulishuhudia tangu amezaliwa na  hivyo yuko radhi  sheria ichukue mkondo wake.

Kwa mujibu wa mwendesha mashitaka  Inspeta  Koplo Selemani aliieleza Mahakama kuwa kutokana na kosa alilolifanya mtuhumiwa ni vema apewe adhabu kali ili fundisho kwa wengine katika jamii.

Pia Mwendesha mashitaka Inspeta  Koplo Selemani aliiambia mahakama kuwa mtuhumiwa huyo akitambua kuwa  huyo ni mtoto wake wa kumzaa aliweza kumbaka  na  kutenda kosa hilo kinyume na  kifungu cha 158 (1)(2)  Sheria ya kanuni ya adhabu (Penal Code)  Namba 16 kama ilivyoboreshwa mwaka 2002.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MSIGWA: MAAFISA HABARI NI SAUTI YA SERIKALI, TANGAZENI MAFANIKIO YA SERIKALI KWENYE MAENEO YENU.

    May 25, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU NA WAZALENDO ILI WANANCHI WAPATE HABARI SAHIHI NA KWA WAKATI.

    May 23, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa