• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Usafi wa Mazingira

1. Maelezo mafupi kuhusu Idara

  • Idara ya Usafi na Mazingira iliundwa mwaka 2011 na Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ambaye ndiye mwenye dhamana na serikali za mitaa. Idara iliundwa kwa ajili ya kushughulikia masuala ya usafi na mazingira katika halmashauri zote Tanzania.
  • Kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, idara hii imeanza kufanya kazi rasmi kuanzia Februari 2014 ikiwa na mtumishi mmoja tu hadi sasa.
  • 2. Malengo ya Idara katika utoaji wa huduma
  • Malengo makuu ya idara ni pamoja na;
  • · Kuhakikisha jamii inakuwa na hali nzuri ya usafi wa mazingira kwa kutekeleza sheria, sera na miongozo mbali mbali ya afya na mazingira.
  • · Kuhakikisha shughuli zote za kijamii, kiuchumi, kitamaduni na kisiasa zinafanyika kwa kuzingatia utunzaji wa mazingira kwa ajili ya kizazi cha sasa na kizazi cha baadaye
  • 3. Vitengo vilivyopo kwenye idara na majukumu yake
  • Ø Mazingira
  • Kitengo hiki kina majukumu ya;
  • · Kusimamia wa sera, sheria na miongozo ya masuala ya utunzaji wa mazingira
  • · Kutoa elimu na hamasa kwa jamii juu ya utunzaji wa mazingira
  • · Kufuatilia masuala ya utunzaji wa mazingira ikiwemo tathmini za athari kwa mazingira katika miradi mbalimbali ya maendeleo kama vile ujenzi wa barabara, nyumba, maabara, viwanda, umwagiliaji, uchimbaji wa madini n.k
  • Ø Usafi
  • Kitengo hiki kina majukumu ya;
  • · Kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na miongozo inayohusu masuala ya afya na mazingira
  • · Kutoa elimu juu ya usafi wa mazingira katika maeneo yote kama vile kaya, taasisi zote za serikali na zisizo za kiserikali na sehemu mbalimbali kama vile masoko, magulio na sehemu za wazi.
  • · Kufuatilia milipuko ya magonjwa ya kuambukiza
  • 4. Majukumu ya idara kwa ujumla
  • i. Kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na miongozo mbalimbali inayohusu afya na mazingira
  • ii. Kupanga na kutekeleza mipango mbali mbali inayohusu usafi na mazingira
  • iii. Kufuatilia milipuko ya magonjwa ya kuambukiza
  • iv. Kufanya tafiti za kiepidemiologic na za mazingira na kutumia matokeo ili kuboresha huduma za kinga
  • v. Kushirikiana na taasisi nyingine katika maeneo yanayohusiana na afya na mazingira
  • vi. Kutoa ushauri wa kitaalam kwa halmashauri ili kuendeleza huduma za afya na mazingira
  • 5. Aina ya huduma muhimu zinazotolewa kwa jamii mara kwa mara
  • · Elimu na hamasa juu ya usafi na utunzaji wa mazingira
  • · Ushauri juu ya masuala ya usafi na utunzaji wa mazingira
  • · Ushauri juu ya taratibu za tathmini ya athari kwa mazingira katika miradi mbalimbali inayotekelezwa kwa jamii
  • 6. Miongozo na sera mbalimbali inayotumiwa na idara na vitengo katika kutekeleza majukumu ya kila siku
  • · Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004
  • · Sera ya Mazingira ya mwaka 1997
  • · Sheria ya Afya ya Jamii ya mwaka 2009
  • · Waraka wa Maendeleo ya Utumishi Na 1 wa mwaka 2011 unaohusu Muundo wa maendeleo ya Utumishi wa kada chini ya ofisi ya Makamu wa Rais
  • · Sheria, sera na miongozo yote inayohusu utunzaji wa vyanzo vya maji, matumizi ya maji, ardhi, misitu na maliasili
  • · Sheria ya Madini ya mwaka 2010

· Sheria, sera na miongozo mbalimbali inayohusu Serikali za mitaa

Matangazo

  • UJENZI WA VIBANDA VYA BIASHARA STENDI MPYA YA NDANDA December 14, 2020
  • KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI December 11, 2020
  • TANGAZO LA KUBAINISHA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI January 11, 2021
  • Tangazo kwa umma May 16, 2018
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA KIDATO CHA NNE 2020 MASASI DC

    January 15, 2021
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA KIDATO CHA PILI 2020

    January 15, 2021
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA DARASA LA NNE 2020 MASASI DC

    January 15, 2021
  • RC MTWARA AFANYA ZIARA MASASI YA KUKUTANA NA WANANCHI

    December 23, 2020
  • Angalia Zaidi

Video

JUMA LA ELIMU, Uwajibikaji wa wazazi na mazingira bora chachu kwa wanafunzi kuongeza ufaulu
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa