• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Profile

NDG CHANGWA MOHAMED MKWAZU
MKURUGENZI MTENDAJI

Bi Changwa Mohamed Mkwazu

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Masasi kuanzia tarehe 12/07/2016

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Masasi alizaliwa tarehe 27.03.1967 wilayani Kwimba ambayo hivi sasa ipo wilaya ya Misungwi Mwanza.  Bi. Changwa Mohamed Mkwazu ameolewa na anao watoto wawili.

Kazi:

Mwaka 1990 hadi 1996 alikuwa mwalimu katika Shule ya Sekondari ya Ufundi Tanga (Tanga Technical Secondary School) akifundisha masomo ya Hisabati na Fizikia.  Mnamo mwaka 1996 – 2003 alifundisha Shule ya Sekondari Kambangwa D’Salaam.  Na kuanzia mwaka 2003 hadi 2016 alifundisha Shule ya Sekondari Mtakuja Beach iliyopo D’Salaam akiwa pia Makamu Mkuu wa Shule kuanzia mwaka 2006 hadi 2016.  Pia alikuwa mwalimu wa Taaluma kuanzia mwaka 2000 hadi 2003.

Elimu:

Bi. Changwa Mohamed Mkwazu alipata Elimu ya Msingi katika Shule ya Msingi Kilimo – Ukinguni (Mwanza) kuanzia mwaka 1975 hadi 1977 baadae alihamishiwa Shule ya Msingi Kimange (Mkoa wa Pwani) kuanzia mwaka 1977 hadi 1982 alijiunga na Shule ya Sekondari Highlands iliyopo Mkoa wa Iringa na baadae kidato cha tano na sita katika Chuo cha Elimu Mkwawa ambapo alipata pia stashahada ya ualimu mnamo mwaka 1990.

Bi. Changwa Mohamed Mkwazu alijiunga na Jeshi la kujenga Taifa kwa mujibu wa sheria Mgambo – Tanga kuanzia Julai 1990 hadi July 1991.  Kati ya mwaka 2003 hadi 2006 alijiunga na masomo ya stashahada (Advance Diploma) ya Menejimenti ya Rasilimali watu katika Chuo cha Ustawi wa Jamii Dar es Salaam, na baadae mwaka 2007 – 2009 alijiunga na Chuo Kikuu Mzumbe kambi ya Dar es Salaam kwa masomo ya shahada ya uzamili ya usimamizi wa masuala ya biashara na mashirika ya umma na kwa mwaka huo huo alifanya shahada ya uzamili ya sayansi ya Maendeleo ya Jamii Kiuchumi katika Chuo Kikuu cha The Southern New Hampshire cha Marekani ikishirikiana na Chuo Kikuu Huria cha Dar es Salaam.

Matangazo

  • UJENZI WA VIBANDA VYA BIASHARA STENDI MPYA YA NDANDA December 14, 2020
  • KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI December 11, 2020
  • TANGAZO LA KUBAINISHA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI January 11, 2021
  • Tangazo kwa umma May 16, 2018
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WADAU WA ELIMU WAKUTANA KUJADILI CHANGAMOTO ZA ELIMU HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

    February 04, 2021
  • WAHESHIMIWA MADIWANI WAPEWA MAFUNZO MAALUMU HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

    January 25, 2021
  • MASASI DC YAFANYA SHEREHE LEO KWA KUTOA MIKOPO NA ZAWADI

    January 23, 2021
  • WENYEVITI WA VIJIJI WAPEWA SEMINA ELEKEZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

    January 22, 2021
  • Angalia Zaidi

Video

JUMA LA ELIMU, Uwajibikaji wa wazazi na mazingira bora chachu kwa wanafunzi kuongeza ufaulu
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa