JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA-TAMISEMI
HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI-MTWARA
TANGAZO LA KAZI YA UFUNDI UJENZI
Tarehe 27/09/2018
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi imepokea fedha kutoka Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa- TAMISEMI kwa ajili ya Ujenzi wa kituo cha afya Chiungutwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi anatangaza nafasi ya kazi ya FUNDI UJENZI kwa ajili ya kujenga kituo cha afya cha Chiungutwa.
Majengo yatakayojengwa ni kama yafuatavyo:
Hivyo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi anakaribisha maombi ya mafundi ujenzi binafsi au vikundi vya fundi ujenzi wa majengo wenye/mwenye sifa zifuatazo:-
BONYEZA HAPA KUPAKUA TANGAZO
Masasi - Bomani
Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi
Simu ya mezani: 023-2510031
Simu ya kiganjani: 023-2510031
Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz
Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa